Media Personality cum Tanasha Donna Community Service Manager Jamal Gaddafi has accused Diamond of using a lot energy on Zuchu, in the quest to sabotage singer Tanasha Donna.
In an interview with Dizzim Online, Jamal alleged that Platnumz is working so hard to sabotage his baby mama, something that he feels is not right.
“…Mondi anatumia force nyingi sana kwa Zuchu, ili amfunike mzazi mwenziwe…unaona live tu Diamond anavyo msukuma Zuchu sio kawaida tu ni sababu tu ya Tanasha, kutaka kuwalingnisha hao wawili. Lakini mimi naona kibiashara ni sawa, lakini end of the day ni mzazi mwenzake, asingempa hard time,” said Jamal.
The KTN Presenter added that he likes Zuchu’s music but her act of borrowing Ms Donna style for her new song #Cheche is what made him feel she was copying her singer (Tanasha).
“Kwanza mimi Zuchu namkubali sana, yuko vizuri Zuchu, napenda Kazi yake, ila kitu ambacho nilipost jana ni kwamba, Kuna nyimbo ya Tanasha ambayo iliweza kuvuja ambayo inaitwa ride, amemshirikisha Khaligraph Jones. So kuna miondoko flani hivi kaitumia Zuchu mimi nikahisi mbona kamuiga mwenzake.

Tanasha Donna with Jamal Gaddafi
Katika Wasafi watu amabo niko karibu naona ni kama Romy Jons, Richardo Momo. Na hata kumcheki mtu kama Richardo Momo si issue, lakini mimi nimeacha tu ipotelee kwenye mitandao, because it’s not that big. Mimi ni style tu mimi nilikuwa naongelea. Style flani hivi Tee anatumianga. So hiyo ati ni kitu kikubwa ati tutapigia hadi management” added Jamal Gaddafi.
Asked if Ms Donna as ever complained about the same, Gaddafi said “Hajawahi kulalamika hata siku moja, lakini ni vitu mimi naona sio lazima hata kuambiwa, jinsi kunavyo kwenda, sio lazima eti yeye aniambie kuko hivi”.
However, fans who joined the conversation, argued that if Diamond wanted to Sabotage Tanasha’s music career he would not have collaborated with her or allowed any of his signees to do so. Others felt that Tanasha Donna’s camp had panicked at the rate which Zuchu is growing and they want to use her for clout and remain relevant.
Another user stated that Music is business and therefore Chibu Dangote is free to promote his artistes as much as he can.
