
Wasafi’s finest Harmonize has finally responded to Ben Pol’s allegations that he was hitting on his soon to be wife Anerlisa Muigai.

During a media interview in Tanzania, Ben Pol revealed that Harmonize, Shettah and Khaligraph Jones were always camping on Anerlisa’s inbox trying to beg for sexual favours.
Well, it seems Ben Pol’s sentiments angered Harmonize who openly castigated him for trying to seek attention using his name, claiming that he knew Anerlisa way back before Ben Pol.
“Unajua mkiwa katika mahusiano kila mtu anataka kumhemshimu mwenzake kuwa kuna mtu falani ananotongoza. Kuna vitu vingine vinaongelewa vinaeza kua vya kweli au uongo. So as a gentleman ukiskia vitu kama hivo sio vizuri kuviweka kwenye public. Angeniambia tu bro wife kaniambia hivi na hivi na mimi ningemwambia sio kweli. Mwanamke wa Ben Pol mimi nimemjua hata kabla ya Ben, karibu 3 years ago”
“Mimi namheshimu sana Ben Pol na sisi ni binadamu sometimes tunateleza. Labda shemela wetu kaamua kusema ivo kumwasha bro kuwa usinichukulie poa, kuna watu bado wananifuata. Mimi sio stupid kuona kua watu wako kwenye mahusiano serious alafu namtext DM. Ben Pol is my brother and i love him so much. I like him because he is humble and he is my role model. Nimeanza kumsikia kitambo when i was a nobody,” said Harmonize.
